Single Event

Vikao vya Kamati za Baraza la Uongozi wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP)

Wenyeviti CPA , Dkt. Samwel Werema ( Kamati ya Ukaguzi), Prof . Donald Gregory Mpanduji( Kamati ya Taaluma) na Bw. Michael John ( Kamati ya Fedha)  wakijadili mambo mbalimbali yanayogusa maendeleo ya taaluma , ujenzi wa miundombinu pamoja na maendeleo ya wafanyakazi katika Vikao vya Kamati za Baraza la Uongozi wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP) vilivyofanyika tarehe 24/5/2022 na tarehe 25/5/2022 katika ukumbi wa Mikutano wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini, Kampasi ya Dodoma.

Vikao hivyo vitahitimishwa na Kikao cha Baraza la Uongozi wa Chuo siku ya Ijumaa tarehe 27/05/2022.